Saturday, 13 May 2017
ANZA SIKU YAKO VIZURI
Karibu tujifunze neon la MUNGU.
Kuna siku asubuhi nilikutana na mama mmoja jirani yangu. Kama kawaida huwezi kumpita mtu bila kumsalimia. Yafuatayo ndiyo tuliyoongea huku tumesimama kwa heshima:-
Labels:
Neno la MUNGU
MANENO YANAUMBA
Karibu tujifunze neon la MUNGU.
Naomba tujifunze kwa habari ya maneno tunayotamka kila siku. Katika kinywa cha mtu asipokuwa makini, atakuwa anajibariki mwenyewe au atakuwa anajirahani mwenyewe.
Uwe makini sana kwa yale unayotamka, kwa maana maneno huumba. Tumeumbwa kwa mfano wa Mungu kiroho, Mungu aliumba kwa neno.
Labels:
Neno la MUNGU
IWENI WEPESI WA KUSAMEHE
Karibu mtu wa MUNGU tujifunze neon la MUNGU.
Biblia inasema
" Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani. ~ Matayo 5:25.
Labels:
Neno la MUNGU
Friday, 12 May 2017
MUNGU AMAWAPENDA WAMPENDAO TU
![]() |
YESU ndiyo MUNGU aliye hai. |
Karibu mtu wa MUNGU tujifunze neon la MUNGU.
Biblia takatifu inasema MUNGU anawapenda wale wampendao tu; kama humpendi MUNGU ina maana hawezi kukupenda pia.
Labels:
Neno la MUNGU
AHADI HII SIYO YA KUKOSA
Karibu mtu wa MUNGU, utafakari ujumbe huu mfupi.
Ujumbe wa leo unasema AHADI HII SIYO YA KUKOSA.
Kuna ahadi nyingi sana hapa duniani tunaahidiwa, nyingine huwa zinatimia na nyingine huwa hazitimii.
Labels:
Neno la MUNGU
Subscribe to:
Posts (Atom)