No copying

Saturday, 13 May 2017

ANZA SIKU YAKO VIZURI



Karibu tujifunze neon la MUNGU.
Kuna siku asubuhi nilikutana na mama mmoja jirani yangu. Kama kawaida huwezi kumpita mtu bila kumsalimia. Yafuatayo ndiyo tuliyoongea huku tumesimama kwa heshima:-

MANENO YANAUMBA


Karibu tujifunze neon la MUNGU.

Naomba tujifunze kwa habari ya maneno tunayotamka kila siku. Katika kinywa cha mtu asipokuwa makini, atakuwa anajibariki mwenyewe au atakuwa anajirahani mwenyewe.

Uwe makini sana kwa yale unayotamka, kwa maana maneno huumba. Tumeumbwa kwa mfano wa Mungu kiroho, Mungu aliumba kwa neno.

IWENI WEPESI WA KUSAMEHE




Karibu mtu wa MUNGU tujifunze neon la MUNGU.
Biblia inasema
" Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani. ~ Matayo 5:25.


Friday, 12 May 2017

MUNGU AMAWAPENDA WAMPENDAO TU


YESU ndiyo MUNGU aliye hai.

Karibu mtu wa MUNGU tujifunze neon la MUNGU.
Biblia takatifu inasema MUNGU anawapenda wale wampendao tu; kama humpendi MUNGU ina maana hawezi kukupenda pia.


AHADI HII SIYO YA KUKOSA

By Faraja Euphrase

Karibu mtu wa MUNGU, utafakari ujumbe huu mfupi.

Ujumbe wa leo unasema AHADI HII SIYO YA KUKOSA.
Kuna ahadi nyingi sana hapa duniani tunaahidiwa, nyingine huwa zinatimia na nyingine huwa hazitimii.
 

Top

Back To Top
 
Blogger Templates