UTANGULIZI:
Bwana YESU asifiwe sana
wana wa MUNGU. Leo nina ujumbe ambao
unamuhusu kila mtu aliyeamua kuokoka na mwenye safari ya kwenda mbinguni. Yapo
mambo mengi sana ambayo kila mwamini anatakiwa kufanya na kuyafuata yaani
kuyaishi katika wokovu wake.