YESU ANAPONYA
Tuesday, 24 October 2017
SHETANI HAJAFA.
Labels:
Neno la MUNGU
Friday, 8 September 2017
UAMINIFU WAKO U-WAPI?
UAMINIFU ni kitu cha msingi sana katika maisha ya MWAMINI.
Iwe ni katika matakatifu ya MUNGU au katika mambo mengine tu ya kawaida.
UAMINIFU huvuta BARAKA zako mahali zilipo.
Ukitaka kujua hasara za kukosa UAMINIFU; muulize ANANIA wa Matendo sura ya Tano.
Labels:
Neno la MUNGU
Thursday, 3 August 2017
MAMBO MANNE YAKUPASAYO KUFANYA/KUTENDA KATIKA WOKOVU WAKO.
UTANGULIZI:
Bwana YESU asifiwe sana
wana wa MUNGU. Leo nina ujumbe ambao
unamuhusu kila mtu aliyeamua kuokoka na mwenye safari ya kwenda mbinguni. Yapo
mambo mengi sana ambayo kila mwamini anatakiwa kufanya na kuyafuata yaani
kuyaishi katika wokovu wake.
Sunday, 16 July 2017
ANZA KWANZA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO
Karibu mwana wa MUNGU tujifunze. Leo tunaangalia somo linasema KUUTAWALA KWANZA ULIMWENGU WA ROHO.
Nini maana ya ulimwengu wa roho?
Ulimwengu wa roho ni ulimwengu usioonekana kwa macho ya damu
na nyama. Ulimwengu wa roho ni ulimwengu halisi kama ilivyo hii dunia. Mapepo,
majini yanaishi katika huo ulimwengu ndiyo maana huwa hatuyaoni. Wachawi na
waganga hufanikisha mambo yao kwa namna ya rohoni yaani katika ulimwengu wa
roho.
Labels:
Neno la MUNGU
Saturday, 3 June 2017
UMFANYIALO; LITAKUPATA
UMFANYIALO; LITAKUPATA.
Karibu mtu wa MUNGU tjifunze neno la MUNGU japo kwa ufupi.
Neno la MUNGU linasema katika ISAYA 👇👇👇
Karibu mtu wa MUNGU tjifunze neno la MUNGU japo kwa ufupi.
Neno la MUNGU linasema katika ISAYA 👇👇👇
Labels:
Neno la MUNGU
Saturday, 13 May 2017
ANZA SIKU YAKO VIZURI
Karibu tujifunze neon la MUNGU.
Kuna siku asubuhi nilikutana na mama mmoja jirani yangu. Kama kawaida huwezi kumpita mtu bila kumsalimia. Yafuatayo ndiyo tuliyoongea huku tumesimama kwa heshima:-
Labels:
Neno la MUNGU
MANENO YANAUMBA
Karibu tujifunze neon la MUNGU.
Naomba tujifunze kwa habari ya maneno tunayotamka kila siku. Katika kinywa cha mtu asipokuwa makini, atakuwa anajibariki mwenyewe au atakuwa anajirahani mwenyewe.
Uwe makini sana kwa yale unayotamka, kwa maana maneno huumba. Tumeumbwa kwa mfano wa Mungu kiroho, Mungu aliumba kwa neno.
Labels:
Neno la MUNGU
Subscribe to:
Posts (Atom)